Kulikuwa na kipindi ambacho nilianza kuishi kwa stress kila asubuhi kwa sababu ya mtoto wangu. Mwanzoni alikuwa anapenda shule sana. Aliamka mapema, alifurahia marafiki zake, na kila siku alikuwa anarudi nyumbani akiwa na stories za darasani.
Lakini ghafla mambo yakaanza kubadilika kwa namna ambayo sikuielewa. Alianza kukataa kwenda shule. Mwanzoni nilidhani ni uvivu wa kawaida wa watoto. Lakini hali ilizidi kuwa mbaya.
KUENDELEA KUSOMA










No comments:
Post a Comment