Kulikuwa na kipindi maishani mwangu ambapo nilianza kuamini labda kazi nzuri haikuwa sehemu ya maisha yangu. Baada ya kumaliza masomo yangu, nilikuwa na matumaini makubwa sana.
Nilikuwa naamini nikituma applications nyingi na kujituma, siku moja ningepata kazi nzuri ambayo ingebadilisha maisha yangu na kunisaidia kusaidia familia yangu. Mwanzoni nilikuwa na confidence kubwa.
Kila nilipoona tangazo la kazi, nilikuwa natuma CV yangu haraka. Nilihakikisha documents zangu zimepangwa vizuri, nikafanya applications kwa matumaini makubwa, na kila siku nilikuwa nikisubiri simu ya interview.
KUNDELEA KUSOMA










No comments:
Post a Comment