𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐒𝐇𝐀𝐍𝐆𝐀𝐀 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐓𝐔 𝐀𝐋𝐈𝐘𝐄𝐍𝐈𝐂𝐇𝐔𝐊𝐈𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐈𝐀𝐊𝐀 𝐊𝐔𝐀𝐍𝐙𝐀 𝐊𝐔𝐍𝐈𝐒𝐀𝐋𝐈𝐌𝐈𝐀 𝐍𝐀 𝐊𝐔𝐍𝐈𝐎𝐌𝐁𝐀 𝐓𝐔𝐎𝐍𝐆𝐄𝐄 𝐅𝐀𝐑𝐀𝐆𝐇𝐀𝐍𝐈 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Wednesday, May 20, 2026

𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐒𝐇𝐀𝐍𝐆𝐀𝐀 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐓𝐔 𝐀𝐋𝐈𝐘𝐄𝐍𝐈𝐂𝐇𝐔𝐊𝐈𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐈𝐀𝐊𝐀 𝐊𝐔𝐀𝐍𝐙𝐀 𝐊𝐔𝐍𝐈𝐒𝐀𝐋𝐈𝐌𝐈𝐀 𝐍𝐀 𝐊𝐔𝐍𝐈𝐎𝐌𝐁𝐀 𝐓𝐔𝐎𝐍𝐆𝐄𝐄 𝐅𝐀𝐑𝐀𝐆𝐇𝐀𝐍𝐈

Kwa miaka mingi nilikuwa siamini kwamba siku moja mambo yangeweza kubadilika kati yangu na mtu ambaye alionekana kunichukia kwa moyo wake wote. Tulikuwa watu wa karibu zamani. Tulikuwa tukielewana vizuri, tukisaidiana, na hata watu wengi walijua hatukuwa tunatengana kirahisi.

Lakini ghafla mambo yalibadilika baada ya kutokea misunderstanding kubwa ambayo ilituacha kila mmoja na maumivu yake.
Kilichoniumiza zaidi ni namna alivyonibadilika kabisa. Mtu ambaye zamani alikuwa ananicheka naye kila siku alianza kunipita bila hata salamu. Kila nilipokutana naye sehemu yoyote alikuwa ananiangalia kwa macho ya hasira au anajifanya hanioni kabisa.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad