Nilikuwa naamini upendo wa kweli unahitaji kujitolea. Nilipokutana na mwanaume huyo, nilimpenda kwa moyo wangu wote. Tulianza maisha yetu tukiwa na ndoto kubwa. Wakati huo alikuwa anapitia changamoto nyingi za kifedha na maisha yake hayakuwa yamekaa sawa kabisa.
Kwa sababu nilimpenda, sikuona shida kumsaidia. Nilikuwa pembeni yake kila wakati. Kulikuwa na siku nilitoa pesa zangu kumsaidia kulipa bills. Nilimsaidia kuanzisha biashara ndogo. Wakati mwingine nilijinyima vitu nilivyohitaji ili kuhakikisha yeye yuko sawa.










No comments:
Post a Comment