𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐑𝐄𝐉𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐅𝐔𝐑𝐀𝐇𝐀 𝐌𝐀𝐈𝐒𝐇𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐀𝐂𝐇𝐖𝐀 𝐍𝐀 𝐌𝐖𝐀𝐍𝐀𝐔𝐌𝐄 𝐍𝐈𝐋𝐈𝐘𝐄𝐌𝐒𝐀𝐈𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐈𝐋𝐀 𝐊𝐈𝐓𝐔 𝐌𝐏𝐀𝐊𝐀 𝐍𝐈𝐊𝐀𝐁𝐀𝐊𝐈 𝐁𝐈𝐋𝐀 𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Thursday, May 21, 2026

𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐑𝐄𝐉𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐅𝐔𝐑𝐀𝐇𝐀 𝐌𝐀𝐈𝐒𝐇𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐀𝐂𝐇𝐖𝐀 𝐍𝐀 𝐌𝐖𝐀𝐍𝐀𝐔𝐌𝐄 𝐍𝐈𝐋𝐈𝐘𝐄𝐌𝐒𝐀𝐈𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐈𝐋𝐀 𝐊𝐈𝐓𝐔 𝐌𝐏𝐀𝐊𝐀 𝐍𝐈𝐊𝐀𝐁𝐀𝐊𝐈 𝐁𝐈𝐋𝐀 𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈

Nilikuwa naamini upendo wa kweli unahitaji kujitolea. Nilipokutana na mwanaume huyo, nilimpenda kwa moyo wangu wote. Tulianza maisha yetu tukiwa na ndoto kubwa. Wakati huo alikuwa anapitia changamoto nyingi za kifedha na maisha yake hayakuwa yamekaa sawa kabisa.

Kwa sababu nilimpenda, sikuona shida kumsaidia. Nilikuwa pembeni yake kila wakati. Kulikuwa na siku nilitoa pesa zangu kumsaidia kulipa bills. Nilimsaidia kuanzisha biashara ndogo. Wakati mwingine nilijinyima vitu nilivyohitaji ili kuhakikisha yeye yuko sawa.

ENDELEA   KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad