Naitwa, Salma mwanamke mpambanaji niliyefanikiwa kuwa meneja wa benki hapa jijini Mwanza. Licha ya mafanikio yangu na urembo niliojaliwa, maisha yangu ya mapenzi yalikuwa ni jangwa lenye joto kali. Kwa zaidi ya miaka tisa, kila mwanaume aliyekuwa akitokeza na kuonyesha nia ya dhati ya kunioa, alikuwa akidumu kwa miezi michache tu kisha anatokomea bila kuaga.
Tatizo kubwa lilikuwa ni kwamba, wanaume walikuwa wakidai kuwa punde tu wanapofikiria kuleta mahari, wanaanza kuniona nina sura ya hasira na tabia ya ukali....Endelea Kusoma










No comments:
Post a Comment