𝐌𝐓𝐎𝐓𝐎 𝐖𝐀 𝐌𝐈𝐀𝐊𝐀 𝟗 𝐀𝐎𝐍𝐆𝐎𝐙𝐀 𝐒𝐀𝐋𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐌𝐔𝐎𝐌𝐁𝐄𝐀 𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐃𝐊𝐓. 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Thursday, May 28, 2026

𝐌𝐓𝐎𝐓𝐎 𝐖𝐀 𝐌𝐈𝐀𝐊𝐀 𝟗 𝐀𝐎𝐍𝐆𝐎𝐙𝐀 𝐒𝐀𝐋𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐌𝐔𝐎𝐌𝐁𝐄𝐀 𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐃𝐊𝐓. 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀

Mtoto miaka 9 wa kituo cha watoto Yatima  wenye Mahitaji Malum Kisweru Kilosa, aongoza Sala ya kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan baada kukabidhiwa zawadi ya Edi ( vyhakula na Ngo'mbe 3) vilivyotolewa na Mhe Rais


Awaliza viongozi na wazazi kwa namna walivyoguswa na kujawa na moyo wa Shukran katika maombi hayo.

Zawadi mbali mblali ikiwemo Vyakula (Mchele, Sukari, mafuta ya kula, Sabuni ya kufulia, Maharagwe) na Jumla ya Ngo'mbe 6,000 zimetolewa na Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu Hassam  kwa wananchi wa  Wilaya ya Kilosa pamoja na makundi maalum katika kusherehekea  sikukuu ya Edi Al Adhar zoezi lililongozwa na Mkuu wa Wilaya hiyo Shaka Hamdu Shaka.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad