𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐍𝐀𝐅𝐔𝐔 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐊𝐎𝐒𝐀 𝐔𝐒𝐈𝐍𝐆𝐈𝐙𝐈 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐈𝐄𝐙𝐈 𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐖𝐀𝐙𝐎 𝐘𝐀𝐋𝐈𝐘𝐎𝐍𝐈𝐅𝐀𝐍𝐘𝐀 𝐍𝐈𝐒𝐇𝐈𝐍𝐃𝐖𝐄 𝐊𝐔𝐅𝐔𝐑𝐀𝐇𝐈𝐀 𝐌𝐀𝐈𝐒𝐇𝐀 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Friday, May 22, 2026

𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐍𝐀𝐅𝐔𝐔 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐊𝐎𝐒𝐀 𝐔𝐒𝐈𝐍𝐆𝐈𝐙𝐈 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐈𝐄𝐙𝐈 𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐖𝐀𝐙𝐎 𝐘𝐀𝐋𝐈𝐘𝐎𝐍𝐈𝐅𝐀𝐍𝐘𝐀 𝐍𝐈𝐒𝐇𝐈𝐍𝐃𝐖𝐄 𝐊𝐔𝐅𝐔𝐑𝐀𝐇𝐈𝐀 𝐌𝐀𝐈𝐒𝐇𝐀

Kulikuwa na kipindi maishani mwangu ambapo usiku ulikuwa adui yangu mkubwa. Watu wengi walikuwa wakiniangalia na kudhani niko sawa, lakini ndani yangu nilikuwa napitia kipindi kigumu sana. Kila siku nilikuwa na mawazo mengi ambayo sikuweza kuyazuia.

Mwanzoni nilidhani ni stress za kawaida ambazo zingepita baada ya muda. Lakini hali ilianza kuwa mbaya zaidi. Usiku ulipofika, badala ya kupata usingizi, akili yangu ilikuwa inaanza kufanya kazi zaidi.

ENDELEA  KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad