RAIS SAMIA NA MGENI WAKE RAIS WA NAMIBIA WASHIRIKI JUKWAA LA BIASHARA NA UWEKEZAJI LA NCHI HIZO - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Sunday, June 21, 2026

RAIS SAMIA NA MGENI WAKE RAIS WA NAMIBIA WASHIRIKI JUKWAA LA BIASHARA NA UWEKEZAJI LA NCHI HIZO

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Netumbo Nandi-Ndaitwah washiriki Jukwaa la Biashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na Namibia katika Hoteli ya Johari Rotana Jijini Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Netumbo Nandi-Ndaitwah kwenye Jukwaa la Biashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na Namibia lililofanyika katika Hoteli ya Johari Rotana Jijini Dar es Salaam, tarehe 20 Juni, 2026.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwenye Jukwaa la Biashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na Namibia lililofanyika katika Hoteli ya Johari Rotana Jijini Dar es Salaam, tarehe 20 Juni, 2026.

Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Netumbo Nandi-Ndaitwah akizungumza kwenye Jukwaa hilo. 

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad