Kupoteza pesa na akiba ya maisha uliyochuma kwa jasho kwa njia ya utapeli ni jambo linaloweza kukutoa machozi, kukuondolea amani, na kukufanya uhisi kama dunia imekuishia.
Baada ya kufanya kazi ngumu na kuweka akiba kwa miaka mingi, nilipata fursa ya uwekezaji kutoka kwa mtu niliyemwamini na kumhesabu kama rafiki wa karibu.
Aliniahidi faida kubwa na kunihimiza nimkabidhi akiba yangu yote. Hata hivyo, mara tu alipopokea fedha hizo, alikata mawasiliano yote, akabadilisha namba za simu, na kutoweka kabisa.
Nilibaki nikiwa sina kitu mfukoni, nikikabiliwa na madeni makubwa na fedheha mbele ya familia na jamii, huku msongo wa mawazo ukianza kuathiri afya yangu vibaya.










No comments:
Post a Comment