Mashuhuda wanasema kuwa binti huyo alikuwa amepanga kutoka nyumbani akiwa amevalia nguo za kifahari, akipulizia marashi mazito kana kwamba alikuwa akielekea kwenye sherehe kubwa.
Mama yake aliposhtuka baada ya kusikia mlango ukifunguliwa taratibu, aliamua kumfuatilia kimya kimya.
Dakika chache baadaye, binti huyo alinaswa mikononi, akishikiliwa na rafiki zake wawili waliokuwa wakimsubiri barabarani.
Wengi walipigwa na butwaa baada ya kuona mama huyo akimvuta binti yake kwa hasira na kuanza kumpiga hadharani bila kujali macho ya watu waliokuwa wakitazama.
Hali hiyo iliwagawa majirani; baadhi walihisi kuwa hatua hiyo ilikuwa ni ya kikatili, huku wengine wakidai kuwa ilikuwa fundisho stahiki kwa mtoto aliyekuwa na mienendo ya utundu...SOMA ZAIDI










No comments:
Post a Comment