Kwa muda mrefu nilikuwa na ndoto ya kuwa na salon yangu mwenyewe. Nilianza kama mfanyakazi kwenye salon ya mtu mwingine. Nilijifunza kila kitu kwa bidii kusuka, kupamba, na kuhudumia wateja kwa uangalifu. Kila siku nilikuwa najifunza zaidi, huku moyoni nikiwa na ndoto ya siku moja kuwa bosi wa biashara yangu.
Lakini changamoto kubwa ilikuwa mtaji. Kila nilipojaribu kuweka akiba, kuna kitu kilitokea kinachonirudisha nyuma. Mara ni kodi, mara familia, mara gharama zisizotarajiwa. Kwa miaka mingi nilihisi kama ninazunguka sehemu moja bila kusonga mbele.
KUENDELEA KUSOMA










No comments:
Post a Comment